Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waebrania 9:1 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

1 BASSI hatta agano la kwanza lilikuwa na kawaida za ibada, na patakatifu pake, pa kidumia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Agano la kwanza lilikuwa na taratibu zake za ibada na maskani takatifu ya duniani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Agano la kwanza lilikuwa na taratibu zake za ibada na maskani takatifu ya duniani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Agano la kwanza lilikuwa na taratibu zake za ibada na maskani takatifu ya duniani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Basi agano lile la kwanza lilikuwa na kanuni zake za kuabudu na pia patakatifu pake pa kidunia.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 Basi agano lile la kwanza lilikuwa na kanuni zake za kuabudu na pia patakatifu pake pa kidunia.

Tazama sura Nakili




Waebrania 9:1
14 Marejeleo ya Msalaba  

Nao wote wawili wenye haki mbele ya Mungu, wakiendelea katika amri zote za Bwana na hukumu zake zote bila lawama.


ambao ni Waisraeli, wenye kufanywa wana, wenye utukufu na maagano, wenye kupewa torati na ibada ya Mungu na ahadi zake; ambao mababu ni wao,


Angalieni intu asiwateke kwa filosofia yake na madanganya matupu, kwa jinsi ya mapokeo ya wana Adamu, kwa jinsi ya mafundisho ya awali ya ulimwengu, wala si kwa jinsi ya Kristo.


Kwa kule kusema, Agano jipya, amelifanya lile la kwanza kuwa kukuu. Lakini kitu kianzacho kuwa kikukuu na kuchakaa ni karibu na kutoweka.


mkhudumu wa patakatifu, na wa khema ya kweli, ambayo Bwana aliiweka wala si mwana Adamu.


Maana kama lile la kwanza lingalikuwa halina upungufu, nafasi isingalitafutwa kwa lile la pili.


Kwa sababu Kristo hakuingia katika patakatifu palipofanyiku kwa mikono, ndio mfano wa patakatifu palipo patakatifu khalisi; hali aliingia mbinguni khassa, aonekane sasa usoni pa Mungu kwa ajili yetu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo