Waebrania 8:2 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19212 mkhudumu wa patakatifu, na wa khema ya kweli, ambayo Bwana aliiweka wala si mwana Adamu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 Yeye hutoa huduma ya kuhani mkuu mahali patakatifu katika maskani, yaani ndani ya ile hema ya kweli iliyojengwa na Bwana, siyo na binadamu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 Yeye hutoa huduma ya kuhani mkuu mahali patakatifu katika maskani, yaani ndani ya ile hema ya kweli iliyojengwa na Bwana, siyo na binadamu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 Yeye hutoa huduma ya kuhani mkuu mahali patakatifu katika maskani, yaani ndani ya ile hema ya kweli iliyojengwa na Bwana, siyo na binadamu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 yeye anayehudumu katika patakatifu, hema la kweli lililowekwa na Mwenyezi Mungu, wala si na mwanadamu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 yeye ahudumuye katika patakatifu, hema la kweli lililowekwa na Mwenyezi Mungu, wala si na mwanadamu. Tazama sura |