Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waebrania 8:12 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

12 Kwa sababu nitawasamehe dhumlumu zao, na dhambi zao sitazikumbuka tena.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Nitawasamehe makosa yao, wala sitakumbuka tena dhambi zao.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Nitawasamehe makosa yao, wala sitakumbuka tena dhambi zao.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Nitawasamehe makosa yao, wala sitakumbuka tena dhambi zao.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Kwa sababu nitasamehe uovu wao, wala sitazikumbuka dhambi zao tena!”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Kwa sababu nitasamehe uovu wao, wala sitazikumbuka dhambi zao tena!”

Tazama sura Nakili




Waebrania 8:12
17 Marejeleo ya Msalaba  

Na hili ndilo agano langu nao, Nitakapowaondolea dhambi zao.


Katika yeye tuna ukombozi kwa damu yake, masamaha ya dhambi, kwa wingi wa neema yake;


amliae katika yeye tuna nkombozi kwa damu yake, masamaha ya dhambi,


na zitokazo kwa Yesu Kristo, shahidi alive mwaminifu, mzaliwa wa kwanza wa waliokufa, na mkuu wa wafalme wa dunia. Kwake yeye aliyetupeuda na kutuosha dhambi zetu kwa damu yake,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo