Waebrania 7:25 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192125 Nae, kwa sababu hii, aweza kuwaokoa kabisa wao wajao kwa Mungu kwa yeye; maana yu hayi siku zote illi awaombee. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema25 Hivyo, yeye anaweza daima kuwaokoa kabisa wote wanaomwendea Mungu kwa njia yake, maana yeye anaishi milele kuwaombea kwa Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND25 Hivyo, yeye anaweza daima kuwaokoa kabisa wote wanaomwendea Mungu kwa njia yake, maana yeye anaishi milele kuwaombea kwa Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza25 Hivyo, yeye anaweza daima kuwaokoa kabisa wote wanaomwendea Mungu kwa njia yake, maana yeye anaishi milele kuwaombea kwa Mungu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu25 Kwa hiyo anaweza kuwaokoa kabisa wale wanaomjia Mungu kupitia kwake, kwa sababu yeye adumu daima kuomba kwa ajili yao. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu25 Kwa hiyo anaweza kuwaokoa kabisa wale wanaomjia Mwenyezi Mungu kupitia kwake, kwa sababu yeye adumu daima kuomba kwa ajili yao. Tazama sura |