Waebrania 7:24 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192124 hali yeye, kwa kuwa akaa milele, ana ukuhani usioondoka. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema24 Lakini Yesu si kama wao, yeye anaishi milele; ukuhani wake hauondoki kwake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND24 Lakini Yesu si kama wao, yeye anaishi milele; ukuhani wake hauondoki kwake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza24 Lakini Yesu si kama wao, yeye anaishi milele; ukuhani wake hauondoki kwake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu24 Lakini kwa sababu Isa anaishi milele, anao ukuhani wa kudumu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu24 Lakini kwa sababu Isa anaishi milele, anao ukuhani wa kudumu. Tazama sura |