Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waebrania 7:20 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

20 Na kwa kuwa haikuwa pasipo kiapo,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Zaidi ya hayo, hapa pana kiapo cha Mungu. Wakati wale wengine walipofanywa makuhani hapakuwako kiapo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Zaidi ya hayo, hapa pana kiapo cha Mungu. Wakati wale wengine walipofanywa makuhani hapakuwako kiapo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Zaidi ya hayo, hapa pana kiapo cha Mungu. Wakati wale wengine walipofanywa makuhani hapakuwako kiapo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Nalo tumaini hilo halikutolewa pasipo kiapo! Wengine walikuwa makuhani pasipo kiapo chochote,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Nalo tumaini hilo halikutolewa pasipo kiapo! Wengine walikuwa makuhani pasipo kiapo chochote,

Tazama sura Nakili




Waebrania 7:20
5 Marejeleo ya Msalaba  

kama asemavyo mahali pengine, Wewe u Kuhani milele Kwa mfano wa daraja la Melkizedeki.


(kwa maana sharia ile haikukamilisha neno); na pamoja na haya kuliingizwa matumaini yaliyo mazuri zaidi, ambayo kwayo twamkaribia Mungu.


(maana wale walifanywa makuhani pasipo kiapo; hali yeye, pamoja na kiapo, kwa yeye aliyemwambia, Bwana ameapa wala hataghairi, Wewe kuhani hatta milele kwa daraja la Melkizedeki;)


Tufuate:

Matangazo


Matangazo