Waebrania 7:16 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192116 asiyekuwa kuhani kwa sharia ya amri iliyo ya jinsi ya mwili, bali kwa nguvu za uzima usio na kikomo: Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Yeye hakufanywa kuhani kwa sheria na maagizo ya kibinadamu, bali kwa nguvu ya uhai ambao hauna mwisho. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Yeye hakufanywa kuhani kwa sheria na maagizo ya kibinadamu, bali kwa nguvu ya uhai ambao hauna mwisho. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Yeye hakufanywa kuhani kwa sheria na maagizo ya kibinadamu, bali kwa nguvu ya uhai ambao hauna mwisho. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 yeye ambaye amefanyika kuhani si kwa misingi ya sheria kama ilivyokuwa kwa baba zake, bali kwa misingi ya uwezo wa uzima usioharibika. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 yeye ambaye amefanyika kuhani si kwa misingi ya sheria kama ilivyokuwa kwa baba zake, bali kwa misingi ya uwezo wa uzima usioharibika. Tazama sura |