Waebrania 7:10 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192110 kwa maana alikuwa katika viuno vya bada yake Ibrahimu, hapo Melkizedeki alipokutana nae. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Maana Lawi hakuwa amezaliwa bado, bali ni kama alikuwa katika mwili wa baba yake, Abrahamu, wakati Melkisedeki alipokutana naye. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Maana Lawi hakuwa amezaliwa bado, bali ni kama alikuwa katika mwili wa baba yake, Abrahamu, wakati Melkisedeki alipokutana naye. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Maana Lawi hakuwa amezaliwa bado, bali ni kama alikuwa katika mwili wa baba yake, Abrahamu, wakati Melkisedeki alipokutana naye. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 kwa sababu Melkizedeki alipokutana na Ibrahimu, Lawi alikuwa bado katika viuno vya baba yake wa zamani. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 kwa sababu Melkizedeki alipokutana na Ibrahimu, Lawi alikuwa bado katika viuno vya baba yake wa zamani. Tazama sura |