Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waebrania 6:5 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

5 na kulionja neno zuri la Mungu, na nguvu za zamani zijazo,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 na kuonja wema wa neno la Mungu na nguvu za ulimwengu ujao,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 na kuonja wema wa neno la Mungu na nguvu za ulimwengu ujao,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 na kuonja wema wa neno la Mungu na nguvu za ulimwengu ujao,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 ambao wameonja uzuri wa neno la Mungu na nguvu za wakati ujao,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 ambao wameonja uzuri wa Neno la Mungu na nguvu za wakati ujao,

Tazama sura Nakili




Waebrania 6:5
13 Marejeleo ya Msalaba  

Na killa mtu atakaenena neno juu ya Mwana wa Adamu atasamehewa, bali yeye atakaenena neno juu ya Roho Mtakatifu hatasamehewa katika ulimwengu wa sasa, wala katika ule ntakaokuwa.


Maana Herode alimwogopa Yohana: hatta akimjua kuwa ni mtu wa haki, mtakatifu, akamhami, na alipokwisha kumsikiliza alifanya mambo mengi: nae alikuwa akimsikiliza kwa furaha.


Na wale juu ya mwamba ndio wale ambao, walisikiapo neno, hulipokea kwa furaha; na hawa hawana mizizi, huamini kwa kitambo, na wakati wa kujaribiwa hujitenga.


Tena ipokeeni chepeo ya wokofu, na upanga wa Roho, ndio neno la Mungu;


Kwa imani twafahamu ya kuwa ulimwengu uliumbwa kwa neno la Mungu, hatta vitu vinavyoonekana havikufanywa kwa vitu vilivyo dhahiri.


Maana hakuuweka chini ya malaika ulimwengu ule ujao tunaounena,


Maana Neno la Mungu li hayi, tena lina nguvu, tena lina ukali kuliko ukali wa upanga ukatao kuwili, tena lachoma kiasi cha kuzigawanya nafsi na roho, na viungo na mafuta yaliyomo ndani yake; li jepesi kuyatambua mawazo na makusudi ya moyo.


Bali Neno la Bwana hudumu hatta milele. Na neno bilo ni neno lile jema lililokhubiriwa kwenu.


ikiwa mmeonja kwamba Bwana ni mwenye fadhili.


Kwa maana wale waliokwisha kuyakimbia machafu ya dunia kwa kumjua sana Bwana, Mwokozi Yesu Kristo, kama wakinaswa tena na kushindwa, hali yao ya mwisho imekuwa mbaya kuliko ile ya kwanza.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo