Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waebrania 6:16 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

16 Maana wana Adamu humwapia yeye aliye mkuu: na ukomo wa mashindano yote ya maneno ni kiapo, kiyathubutishe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Watu wanapoapa, huapa kwa mmoja aliye mkuu kuliko wao, na kiapo husuluhisha ubishi wote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Watu wanapoapa, huapa kwa mmoja aliye mkuu kuliko wao, na kiapo husuluhisha ubishi wote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Watu wanapoapa, huapa kwa mmoja aliye mkuu kuliko wao, na kiapo husuluhisha ubishi wote.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Wanadamu huapa kwa yeye aliye mkuu kuliko wao, nacho kiapo hicho huthibitisha kile kilichosemwa na hivyo humaliza mabishano yote.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Wanadamu huapa kwa yeye aliye mkuu kuwaliko, nacho kiapo hicho huthibitisha kile kilichosemwa na hivyo humaliza mabishano yote.

Tazama sura Nakili




Waebrania 6:16
12 Marejeleo ya Msalaba  

Ndugu, nanena kwa jiusi ya kibinadamu. Lijapokuwa ni agano la mwana Adamu, illakini likiisha kuthuimtika, hapana mtu alibatilishae, wala kuliongeza neno.


Kwa maana Mungu, alipompa Ibrahimu ahadi, kwa kuwa alikuwa hana mkuhwa kuliko nafsi yake wa kumwapia, aliapa kwa nafsi yake,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo