Waebrania 5:8 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19218 na, ingawa yu Mwana, alijifunza kutii kwa mateso haya yaliyompata; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Lakini, ingawa alikuwa Mwana wa Mungu, alijifunza kutii kwa njia ya mateso. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Lakini, ingawa alikuwa Mwana wa Mungu, alijifunza kutii kwa njia ya mateso. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Lakini, ingawa alikuwa Mwana wa Mungu, alijifunza kutii kwa njia ya mateso. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Ingawa alikuwa Mwana, alijifunza utiifu kutokana na mateso aliyoyapata, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Ingawa alikuwa Mwana, alijifunza utiifu kutokana na mateso aliyoyapata, Tazama sura |