Waebrania 5:6 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19216 kama asemavyo mahali pengine, Wewe u Kuhani milele Kwa mfano wa daraja la Melkizedeki. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Alisema pia mahali pengine: “Wewe ni kuhani milele, kwa utaratibu wa ukuhani wa Melkisedeki.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Alisema pia mahali pengine: “Wewe ni kuhani milele, kwa utaratibu wa ukuhani wa Melkisedeki.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Alisema pia mahali pengine: “Wewe ni kuhani milele, kwa utaratibu wa ukuhani wa Melkisedeki.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Pia mahali pengine asema, “Wewe ni kuhani milele, kwa mfano wa Melkizedeki.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Pia mahali pengine asema, “Wewe ni kuhani milele, kwa mfano wa Melkizedeki.” Tazama sura |