Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waebrania 5:13 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

13 Kwa maana killa mtu atumiae maziwa hajui sana neno la haki, kwa kuwa ni mtoto mchanga.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Kila anayepaswa kunywa maziwa ni mtoto bado, hajui uadilifu ni nini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Kila anayepaswa kunywa maziwa ni mtoto bado, hajui uadilifu ni nini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Kila anayepaswa kunywa maziwa ni mtoto bado, hajui uadilifu ni nini.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Kwa maana yeyote aishiye kwa kunywa maziwa bado yeye ni mtoto mchanga, hana ujuzi katika mafundisho kuhusu neno la haki.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Kwa maana yeyote aishiye kwa kunywa maziwa bado yeye ni mtoto mchanga, hana ujuzi katika mafundisho kuhusu neno la haki.

Tazama sura Nakili




Waebrania 5:13
15 Marejeleo ya Msalaba  

Wakati ule Yesu akajibu akasema, Nakushukuru, Baba, Bwana wa mbingu na inchi, kwa kuwa uliwaficha haya wenye hekima na busara, ukawafunulia wadogo:


Amin, nawaambieni, Yeye yote asiyeukubali nfalme wa Mungu kama mtoto mchanga hatauingia kabisa.


mkufunzi wra wajiuga, mwalimu wa watoto wachanga, mwenye namna ya maarifa na ya kweli katika torati,


Nilipokuwa mtoto mchanga, nalisema kama mtoto mchanga, nalifahamu kama mtoto mchanga, nalifikiri kama mtoto mchanga; tokea hapo nilipokuwa mtu mzima, nimeyabatilisha mambo ya kitoto.


Ndugu, msiwe watoto katika akili zenu; illakini katika uovu mwe watoto wachanga, bali katika akili zenu mwe watu wazima.


NA mimi, ndugu, sikuweza kunena nanyi kama na watu wenye tabia za rohoni, bali kama na watu wenye tabia za mwilini, kama na watoto wachanga katika Kristo.


Kwa maana ikiwa khuduma ya hukumu ina utukufu, khuduma ya haki ina utukufu unaozidi sana.


illi tusiwe tena watoto wachanga, tukitupwa huku na huku, na kuchukulivva kwa killa upepo wa elimu, kwa bila ya watu, kwa ujanja, tukifuata njia za udanganyifu;


Killa andiko, lenye pumzi ya Mungu, lafaa kwa mafundisho, na kwa kuwaonya watu makosa yao, na kwa kuwaongoza, na kwa kuwaadibu katika haki;


kama watoto wachanga waliozaliwa sasa yatamanini maziwa ya akili yasiyoghoshiwa, illi kwa hayo mpate kunkulia wokofu;


Maana ampae salamu azishirika kazi zake mbovu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo