Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waebrania 4:9 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

9 Bassi, imesalia hali ya raha kwa watu wa Mungu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Kwa hiyo, basi, bado kuna kupumzika kwa watu wa Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Kwa hiyo, basi, bado kuna kupumzika kwa watu wa Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Kwa hiyo, basi, bado kuna kupumzika kwa watu wa Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Basi, imebaki raha ya Sabato kwa ajili ya watu wa Mungu;

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Kwa hiyo basi, imebaki raha ya Sabato kwa ajili ya watu wa Mungu;

Tazama sura Nakili




Waebrania 4:9
17 Marejeleo ya Msalaba  

Nae atazaa mtoto mwanamume, nawe utamwita jina lake Yesu, maana, ndiye atakaewaokoa watu wake na dhambi zao.


aliyejitoa nafsi yake kwa ajili yetu, illi atuokoe na maasi yote, na kujisafishia watu wawe milki yake, walio na juhudi kwa matendo mema.


akaona ui afadhali kupata mateso pamoja na watu wa Mungu kuliko kujifurahisha kwa dhambi kitamho;


kama nilivyoapa katika hasira yangu, Hawataingia rahani mwangu.


BASSI, ikiwa ikaliko abadi ya kuingia katika raha yake, na tuogope, mmoja wenu asije akaonekana ameikosa.


Kwa maana yeye aliyeingia katika raha yake amestarche mwenyewe baada ya kazi yake, kama vile Mungu alivyostarche baada ya kazi zake.


Maana sisi tulioamini tunaingia katika raba ile; kama vile alivyonena, Nilivyoapa kwa hasira yangu, Hawataingia katika raha yangu: ijapokuwa zile kazi zilimalizika tangu kuwekwa misingi ya ulimwengu.


Maana kama Yoshua angaliwapa raha, asingaliinena siku nyingine baadae.


ninyi mliokuwa kwanza si taifa, bali sasa taifa la Mungu; mliokuwa hamkupata rehema, bali sasa mmepata rehema.


Nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema, Andika, Wa kheri wafu wafao katika Bwana tangu sasa. Naam, asema Roho, wapate kupumzika baada ya taabu zao; na matendo yao yafuatana nao.


Nae atafuta killa chozi katika macho yao, wala mauti haitakuwapo tena: wala maombolezo, wala kilio, wala taabu haitakuwapo tena; kwa kuwa mambo ya kwanza yamekwisha kupita.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo