Waebrania 4:4 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19214 Kwa maana amenena siku ya saba niabali fullani hivi, Mungu alistarche siku ya saba, akaziacha kazi zake zote; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Maana Maandiko yasema mahali fulani kuhusu siku ya saba: “Mungu alipumzika siku ya saba, akaacha kazi zake zote.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Maana Maandiko yasema mahali fulani kuhusu siku ya saba: “Mungu alipumzika siku ya saba, akaacha kazi zake zote.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Maana Maandiko yasema mahali fulani kuhusu siku ya saba: “Mungu alipumzika siku ya saba, akaacha kazi zake zote.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 Kwa maana mahali fulani amezungumza kuhusu siku ya saba, akisema: “Katika siku ya saba Mungu alipumzika kutoka kazi zake zote.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 Kwa maana mahali fulani amezungumza kuhusu siku ya saba, akisema: “Katika siku ya saba Mwenyezi Mungu alipumzika kutoka kazi zake zote.” Tazama sura |