Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waebrania 4:1 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

1 BASSI, ikiwa ikaliko abadi ya kuingia katika raha yake, na tuogope, mmoja wenu asije akaonekana ameikosa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Basi, kwa vile ahadi ya kuingia mahali pa pumziko bado ipo, na tuogope ili yeyote kati yenu asije akashindwa kupata pumziko hilo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Basi, kwa vile ahadi ya kuingia mahali pa pumziko bado ipo, na tuogope ili yeyote kati yenu asije akashindwa kupata pumziko hilo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Basi, kwa vile ahadi ya kuingia mahali pa pumziko bado ipo, na tuogope ili yeyote kati yenu asije akashindwa kupata pumziko hilo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Kwa hiyo, kwa kuwa bado ahadi ya kuingia rahani iko wazi, tujihadhari ili hata mmoja wenu asije akaikosa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 Kwa hiyo, kwa kuwa bado ahadi ya kuingia rahani iko wazi, tujihadhari ili hata mmoja wenu asije akaikosa.

Tazama sura Nakili




Waebrania 4:1
28 Marejeleo ya Msalaba  

Bali mtumishi yule mbaya akisema moyoni mwake, Bwana wangu anakawia;


Tubuni bassi, mrejee, illi dhambi zenu zifutwe, zipate kuja nyakati za kuhurudishwa kwa kuwako kwake Bwana:


Marra haba. Yalikatiwa kwa kutokuamini kwao, na wewe wasimama kwa imani yako. Usijivune bali uogope;


Maana hapana tofauti; kwa sababu wote wamefanya dhambi, wanaona kwamba wamepungukiwii utukufu wa Mungu:


Bassi anaejidhani amesimama aangalie asianguke.


NASI tukitenda kazi pamoja nae tunakusihini msiipokee neema ya Mungu burre,


Mmetengwa na Kristo, ninyi mtakao kufanyiziwa wema kwa sharia; mmeanguka toka hali ya neema.


ikiwa hatuamini, yeye hudumu kuwa mwaminifu, hawezi kujikana nafsi yake.


mkiangalia sana mtu asiipungukie neema ya Mungu; shina la uchungu lisije likachipuka na kuwasumbua watu wengi, wakatiwe najis kwa hilo.


Angalieni msimkatae yeye anenae. Maana ikiwa wale hawakuokoka waliomkataa yeye aliyewaonya juu ya inchi, sembuse sisi tukijiepusha nae atuonyae kutoka mbinguni:


Wakumbukeni wale waliokuwa na mamlaka juu yenu, waliowaambia neno la Mungu; tena, kwa kuuchunguza sana mwisho wa maisha zao, iigeni imani yao.


kama nilivyoapa katika hasira yangu, Hawataingia rahani mwangu.


Bassi, na tufanye bidii kuingia katika raha ile, mtu ye yote asije akaanguka kwti mfano huo huo wa kuasi.


Bassi, imesalia hali ya raha kwa watu wa Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo