Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waebrania 3:18 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

18 Na ni nani aliowaapia ya kwamba hawataingia katika raha yake, illa wale wasioamini?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Mungu alipoapa: “Hawataingia mahali pangu pa pumziko,” alikuwa anawasema akina nani? Alikuwa anasema juu ya hao walioasi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Mungu alipoapa: “Hawataingia mahali pangu pa pumziko,” alikuwa anawasema akina nani? Alikuwa anasema juu ya hao walioasi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Mungu alipoapa: “Hawataingia mahali pangu pa pumziko,” alikuwa anawasema akina nani? Alikuwa anasema juu ya hao walioasi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Ni nani hao ambao Mungu aliapa kuwa kamwe hawataingia rahani mwake isipokuwa ni wale waliokataa kutii?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Ni nani hao ambao Mwenyezi Mungu aliapa kuwa kamwe hawataingia rahani mwake isipokuwa ni wale waliokataa kutii?

Tazama sura Nakili




Waebrania 3:18
16 Marejeleo ya Msalaba  

Amwaminiye Mwana ana uzima wa milele; na asiyemtii Mwana hataona uzima, hali ghadhabu ya Mungu inamkalia.


Kwa maana kama ninyi zamani mlimwasi Mungu, lakini sasa mmepata rehema kwa kutokuamini kwao,


kama nilivyoapa katika hasira yangu, Hawataingia rahani mwangu.


Bassi, na tufanye bidii kuingia katika raha ile, mtu ye yote asije akaanguka kwti mfano huo huo wa kuasi.


Maana ni kweli, sisi nasi tumekhubiriwa khabari njema kama hao. Lakini neno lile lililosikiwa halikuwafaa bao, kwa sababu halikuchanganyika na imani ndani yao waliosikia.


Bassi, kwa kuwa neno hili limebaki kwamba wako watu watakaoingia, na wale waliokhubiriwa khabari ile zamani walikosa kuingia kwa sababu ya kuasi kwao,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo