Waebrania 3:15 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192115 hapo inenwapo, Leo, kama mtasikia sauti yake, msifanye migumu mioyo yenu kama wakati wa kunikasirisha. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema15 Maandiko yasema hivi: “Kama mkisikia sauti yake leo, msiwe wakaidi kama wakati ule waliponiasi.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND15 Maandiko yasema hivi: “Kama mkisikia sauti yake leo, msiwe wakaidi kama wakati ule waliponiasi.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza15 Maandiko yasema hivi: “Kama mkisikia sauti yake leo, msiwe wakaidi kama wakati ule waliponiasi.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu15 Kama ilivyonenwa: “Leo, mkiisikia sauti yake, msiifanye mioyo yenu migumu kama mlivyofanya wakati wa kuasi.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu15 Kama ilivyonenwa: “Leo, kama mkiisikia sauti yake, msiifanye mioyo yenu migumu kama mlivyofanya wakati wa kuasi.” Tazama sura |