Waebrania 2:6 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19216 illa mtu mmoja ameshuhudu hivi maliali fullani, Mwana Adamu ni nini hatta umkumbuke, ama mwana wa binadamu hatta umwangalie? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Tena yasemwa mahali fulani katika Maandiko: “Mtu ni nini, hata umfikirie; mwanadamu ni nini hata umjali? Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Tena yasemwa mahali fulani katika Maandiko: “Mtu ni nini, hata umfikirie; mwanadamu ni nini hata umjali? Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Tena yasemwa mahali fulani katika Maandiko: “Mtu ni nini, hata umfikirie; mwanadamu ni nini hata umjali? Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Lakini kuna mahali mtu mmoja ameshuhudia, akisema: “Mwanadamu ni kitu gani hata unamfikiria, binadamu ni nani hata unamjali? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Lakini kuna mahali mtu fulani ameshuhudia akisema: “Mwanadamu ni kitu gani hata unamfikiria, binadamu ni nani hata unamjali? Tazama sura |