Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waebrania 2:6 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

6 illa mtu mmoja ameshuhudu hivi maliali fullani, Mwana Adamu ni nini hatta umkumbuke, ama mwana wa binadamu hatta umwangalie?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Tena yasemwa mahali fulani katika Maandiko: “Mtu ni nini, hata umfikirie; mwanadamu ni nini hata umjali?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Tena yasemwa mahali fulani katika Maandiko: “Mtu ni nini, hata umfikirie; mwanadamu ni nini hata umjali?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Tena yasemwa mahali fulani katika Maandiko: “Mtu ni nini, hata umfikirie; mwanadamu ni nini hata umjali?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Lakini kuna mahali mtu mmoja ameshuhudia, akisema: “Mwanadamu ni kitu gani hata unamfikiria, binadamu ni nani hata unamjali?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Lakini kuna mahali mtu fulani ameshuhudia akisema: “Mwanadamu ni kitu gani hata unamfikiria, binadamu ni nani hata unamjali?

Tazama sura Nakili




Waebrania 2:6
16 Marejeleo ya Msalaba  

Atukuzwe Bwana, Mungu wa Israeli; Kwa kuwa amewajia watu wake na kuwakomboa.


Kwa rehema zake Mungu wetu, Kwazo mwangaza wa juu umetujia,


Khofu ikawashika wote, wakamtukuza Mungu, wakisema, Nabii mkuu ametokea kwetu: na Mungu amewajilia watu wake.


mtu asimpunje ndugu yake wala kumkosa katika jambo hili; kwa sababu Bwana ndiye alipizae kisasi cha haya yote, kama tulivyowaambia kwanza, tukashuhudu sana.


Kwa maana amenena siku ya saba niabali fullani hivi, Mungu alistarche siku ya saba, akaziacha kazi zake zote;


kama asemavyo mahali pengine, Wewe u Kuhani milele Kwa mfano wa daraja la Melkizedeki.


wakitafuta ni wakati upi, na wakati wa namna gani ulioonywa na Roho ya Kristo iliyokuwa ndaui yao, aliyetangulia kuyashuhudia mateso yatakayompata Kristo, na utukufu utakaokuwa baada ya hayo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo