Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waebrania 2:18 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

18 Na kwa kuwa aliteswa alipojaribiwa, aweza kuwasaidia wao wanaojaribiwa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Na, anaweza sasa kuwasaidia wale wanaojaribiwa na kuteswa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Na, anaweza sasa kuwasaidia wale wanaojaribiwa na kuteswa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Na, anaweza sasa kuwasaidia wale wanaojaribiwa na kuteswa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Kwa kuwa yeye mwenyewe aliteswa alipojaribiwa, aweza kuwasaidia wale wanaojaribiwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Kwa kuwa yeye mwenyewe aliteswa alipojaribiwa, aweza kuwasaidia wale wanaojaribiwa.

Tazama sura Nakili




Waebrania 2:18
16 Marejeleo ya Msalaba  

Siye aketiye chakulani? Lakini mimi kati mwenu kama akhudumuye.


Killa siku nilipokuwa pamoja nanyi hekaluni hamkuninyoshea mikono; lakini saa yenu hii, na mamlaka ya giza.


Baba yangu aliyenipa ni mkuu kuliko wote; wala hakuna awezae kuwapokonya katika mkono wa Baba yangu.


Jaribu halikuwapata ninyi, illa ya kadiri ya kibinadamu; na Mungu yu amini; hatawaacha mjaribiwe kupita mwezavyo; lakini pamoja na lile jaribu atafanya na mlango wa kutokea, illi mweze kustahimili.


atakaeubadili mwili wetu wa unyonge, upate kufanana na mwili wake wa utukufu, kwa uweza ule awezao kuvitiisha hatta na vitu vyote chini yake.


Kwa sababu hiyo nimepata mateso haya, wala sitahayariki: maana namjua yeye niliyemwamini, na kusadiki kwamba aweza kukilinda kile nilichakiweka amana kwake hatta siku ile.


awezae kuwachukulia wao wasiojua na wenye kupotea, kwa kuwa yeye mwenyewe yu katika liali ya udhaifu;


Bwana ajua kuwaokoa wamchao na majaribu, na kuwaweka wasio haki katika hali ya adhabu hatta siku ya hukumu;


Kwake Yeye awezae kuwalinda ninyi msijikwae, na kuwasimamisha mbele ya utukufu wake bila mawaa katika furaha kuu,


Kwa kuwa ulilishika neno la uvumilivu wangu, mimi nami nitakulinda, utoke katika saa ya kujaribiwa iliyo tayari kuujia ulimwengu wote, kuwajaribu wakaao juu ya inchi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo