Waebrania 2:16 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192116 Maana ni hakika, hatwai asili ya malaika, illa atwaa asili ya mzao wa Ibrahimu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Maana ni wazi kwamba yeye hakuja kuwasaidia malaika, bali kama yasemavyo Maandiko: “Anawasaidia wazawa wa Abrahamu.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Maana ni wazi kwamba yeye hakuja kuwasaidia malaika, bali kama yasemavyo Maandiko: “Anawasaidia wazawa wa Abrahamu.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Maana ni wazi kwamba yeye hakuja kuwasaidia malaika, bali kama yasemavyo Maandiko: “Anawasaidia wazawa wa Abrahamu.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Kwa kuwa ni dhahiri kwamba hakuja kusaidia malaika, bali uzao wa Ibrahimu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Kwa kuwa ni dhahiri kwamba hakuja kusaidia malaika, bali uzao wa Ibrahimu. Tazama sura |