Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waebrania 2:15 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

15 akawaokoe wale ambao kwamba maisha zao zote kwa khofu ya mauti walikuwa katika hali ya utumwa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 na hivyo awaokoe wale waliokuwa watumwa maisha yao yote kwa sababu ya hofu yao ya kifo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 na hivyo awaokoe wale waliokuwa watumwa maisha yao yote kwa sababu ya hofu yao ya kifo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 na hivyo awaokoe wale waliokuwa watumwa maisha yao yote kwa sababu ya hofu yao ya kifo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 na kuwaweka huru wale waliokuwa utumwani maisha yao yote kwa sababu ya kuogopa mauti.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 na kuwaweka huru wale waliokuwa utumwani maisha yao yote kwa sababu ya kuogopa mauti.

Tazama sura Nakili




Waebrania 2:15
17 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa kuwa hamkupokea roho ya utumwa uletao khofu, hali mlipokea roho ya kufanywa waua, kwa hiyo twalia, Abba, Baba.


katika tumaini: kwa kuwa viumbe vyenyewe navyo vitawekwa huru na kutolewa katika utumwa wa uharibifu viingie uhuru wa utukufu wa watoto wa Mungu.


ambae tumemtumainia kwamba atazidi kutuokoa;


Niambieni, ninyi ninaotaka kuwa chini ya sharia, hamwisikii torati?


Maana Mungu hakutupa roho ya khofu, bali ya nguvu na ya upendo ua ya moyo wa kiasi.


Maana ni hakika, hatwai asili ya malaika, illa atwaa asili ya mzao wa Ibrahimu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo