Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waebrania 2:13 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

13 na tena, Nitamtumaini: na tena, Tazama, mimi nipo hapa na watoto niliopewa na Mungu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Tena asema: “Nitamwekea Mungu tumaini langu.” Na tena: “Mimi niko hapa pamoja na watoto alionipa Mungu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Tena asema: “Nitamwekea Mungu tumaini langu.” Na tena: “Mimi niko hapa pamoja na watoto alionipa Mungu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Tena asema: “Nitamwekea Mungu tumaini langu.” Na tena: “Mimi niko hapa pamoja na watoto alionipa Mungu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Tena, “Nitaweka tumaini langu kwake.” Tena anasema, “Niko hapa, pamoja na watoto ambao Mungu amenipa.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Tena, “Nitaweka tumaini langu kwake.” Tena anasema, “Niko hapa, pamoja na watoto ambao Mwenyezi Mungu amenipa.”

Tazama sura Nakili




Waebrania 2:13
16 Marejeleo ya Msalaba  

Amemtegemea Mungu; na amwokoe sasa, kamii akimtaka; kwa maana alisema, Mimi ni Mwana wa Mungu.


Baba yangu aliyenipa ni mkuu kuliko wote; wala hakuna awezae kuwapokonya katika mkono wa Baba yangu.


Maana mimi ndiye aliyewazaa katika Kristo Yesu kwa Injili.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo