Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waebrania 13:8 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

8 Yesu Kristo, jana na leo yeye yule na hatta milele.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Yesu Kristo ni yuleyule jana, leo na milele.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Yesu Kristo ni yuleyule jana, leo na milele.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Yesu Kristo ni yuleyule jana, leo na milele.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Isa Al-Masihi ni yeye yule jana, leo na hata milele.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Isa Al-Masihi ni yeye yule jana, leo na hata milele.

Tazama sura Nakili




Waebrania 13:8
19 Marejeleo ya Msalaba  

Maana Mwana wa Mungu, Yesu Kristo, aliyekhubiriwa na sisi kati yenu, na mimi na Silwano na Timotheo, hakuwa ndiyo na siyo; bali katika yeye ndiyo imepata kuwako.


Maana ahadi zote za Mungu zilizopo katika yeye ni ndiyo; na katika yeye ni Amin, Mungu apate kutukuzwa kwa kazi yetu.


na kama mavazi utazizinga, nazo zitabadilika; lakini wewe u yeye yule, na miaka yako haitakoma.


Killa kutoa kwenia, na killa kitolewacho kilicho kamili, chatoka juu, chashuka kwa Baba wa mianga, kwake hakuna kubadilika, wala kivuli cha kugeukageuka.


Yeye aliye Mungu pekee, mwenye hekima, Mwokozi wetu: kwake yeye utukufu, na ukuu, na uwezo, na nguvu kwa Yesu Kristo, tangu milele, na sasa, na hatta milele. Amin.


ikinena, Mimi ni Alfa na Omega, wa kwanza na wa mwisho. Haya uonayo yaandike katika chuo, ukayapeleke kwa makanisa saba yaliyo katika Asia; Efeso, na Smurna, na Pergamo, na Thuatera, na Sardi, na Filadelfia, na Laodikia.


Yohana kwa makanisa saba yaliyo katika Asia: Neema iwe kwenu na amani zitokazo kwake yeye alioko na aliyekuwako nii atakaekuwako: na zitokazo kwa roho saba zilizo mbele ya kiti chake cha enzi:


Mimi ni Alfa na Omega, mwanzo na mwisiio, asema Bwana Mungu, alioko, aliyekuwako, na atakaekuwako, Mwenyiezi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo