Waebrania 13:15 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192115 Bassi na tumpe Mungu dhabihu ya sifa daima, yaani, tunda la midomo ya watu waliungamao jina lake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema15 Basi, kwa njia ya Yesu, tumtolee Mungu tambiko ya sifa daima, yaani sifa zinazotolewa kwa midomo inayoliungama jina lake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND15 Basi, kwa njia ya Yesu, tumtolee Mungu tambiko ya sifa daima, yaani sifa zinazotolewa kwa midomo inayoliungama jina lake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza15 Basi, kwa njia ya Yesu, tumtolee Mungu tambiko ya sifa daima, yaani sifa zinazotolewa kwa midomo inayoliungama jina lake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu15 Basi kupitia kwa Isa, tuzidi kumtolea Mungu dhabihu ya sifa, yaani matunda ya midomo inayolikiri Jina lake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu15 Basi kwa njia ya Isa, tuzidi kumtolea Mungu dhabihu ya sifa, yaani matunda ya midomo inayolikiri Jina lake. Tazama sura |