Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waebrania 13:14 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

14 Maana hapa hatuna mji udumuo, bali twautafuta ule ujao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Maana hapa duniani hatuna mji wa kudumu; lakini tunautafuta ule unaokuja.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Maana hapa duniani hatuna mji wa kudumu; lakini tunautafuta ule unaokuja.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Maana hapa duniani hatuna mji wa kudumu; lakini tunautafuta ule unaokuja.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Kwa kuwa hapa hatuna mji udumuo, bali tunautafuta ule ujao.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Kwa kuwa hapa hatuna mji udumuo, bali tunautafuta ule ujao.

Tazama sura Nakili




Waebrania 13:14
18 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini, nasema hivi, ndugu, muda ubakio si mwingi; bassi tokea sasa wale walio na wake na wawe kama hawana;


Maana mateso mepesi yetu, yaliyo ya muda wa kitambo tu, yatufanyia utukufu wa milele ulio mwingi sana zaidi;


Bassi tangu sasa ninyi si wapitaji wala wageni, bali ninyi ni wenyeji pamoja na watakatifu, watu wa nyumba ya Mungu,


Kwa maana sisi, wenyeji wetu uko mbiuguni; kutoka huko tena tunamtazamia mwokozi Bwana Yesu Kristo;


Maana mliwaonea huruma wale waliokuwa katika mafungo, mkakubali kwa furaba kunyangʼauywa mali zenu, mkijua nafsini mwenu kwamba mna mali mbinguni iliyo njema zaidi, idumnyo.


Bali ninyi mmeufikilia mlima Sayuni, na mji wa Mungu aliye tiayi, Yerusalemi wa mbinguni, na majeshi ya malaika elfu nyingi,


Neno lile, Marra moja tena, ladhihirisha kuhamishwa vile viwezavyo kutetemeshwa, kama vitu vilivyoumbwa, illi vitu visivyoweza kutetemeshwa vikae.


Maana hakuuweka chini ya malaika ulimwengu ule ujao tunaounena,


Bassi, imesalia hali ya raha kwa watu wa Mungu.


Lakini Kristo akiisha kuwapo, aliye kuhani mkuu wa mambo mema yatakayokuwa, kwa khema iliyo kubwa na kamilifu zaidi, isiyofanyika kwa mikono, maana yake, isiyo ya ulimwengu huu,


Mwisho wa mamho yote umekaribia; bassi, mwe na akili, mkakeshe katika sala:


Yeye ashindae, nitamfanya kuwa nguzo katika hekalu la Mungu wangu, wala hatatoka tena kabisa, nami nitaandika juu yake jina la Mungu wangu, na jina la mji wa Mungu wangu, Yerusalemi ulio mpya, ushukao kutoka mbinguni kwa Mungu wangu, na jina langu mwenyewe, lile jipya.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo