Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waebrania 13:13 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

13 Bassi na twende kwake nje ya kituo, tukichukua laumu lake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Basi, tumwendee huko nje ya kambi tukajitwike laana yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Basi, tumwendee huko nje ya kambi tukajitwike laana yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Basi, tumwendee huko nje ya kambi tukajitwike laana yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Kwa hiyo, basi na tumwendee nje ya kambi, tukiichukua aibu aliyobeba.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Kwa hiyo, basi na tumwendee nje ya kambi, tukiichukua aibu aliyobeba.

Tazama sura Nakili




Waebrania 13:13
16 Marejeleo ya Msalaba  

Wakati huo Yesu aliwaambia wanafunzi wake, Mtu atakae kuandama nyuma yangu, ajikane nafsi yake, ajitwike msalaba wake, anifuate.


Hatta walipokuwa wakitoka humo, wakakutana na mtu Mkurene, jina lake Simon; huyu wakamtumikisha auchukue msalaba wake.


M kheri ninyi watakapowatukana na kuwatesa na kuwanenea killa neno baya kwa uwongo, kwa ajili yangu.


M kheri ninyi, wana Adamu watakapowachukieni na watakapowaharamisha, na kuwashutumu, na kulitupa nje jina lenu kuma kitu kiovu, kwa ajili yake Mwana wa Adamu.


Akawaamhia wote, Atakae kuniandama, na ajikane nafsi yake, ajitwike msalaba wake killa siku, anifuate.


Nao wakatoka katika ile baraza, wakifurahi kwa sababu wamehesabiwa kuwa wamestahili kuaibishwa kwa ajili ya jina lake.


Kwa hiyo napendezwa na udhaifu, na maumivu, na dhiiki, na adha, na shidda, kwa ajili ya Kristo. Maana niwapo dhaifu ndipo nilipo ua nguvu.


akihesabu ya kuwa kushutumiwa kwake Kristo ni utajiri mwingi kuliko hazina za Misri.


tukimtazama Yesu, aliveianzisha imani yetu na kuitimiliza; ambae kwa ajili ya furaha iliyowekwa mbele zake aliuvumilia msalaba na kuidharau aibu, nae ameketi mkono wa kuume wa kiti cha enzi cha Mungu.


Maana mtafakarini sana yeye aliyeyavumilia mapingamizi makuu namna hii ya wenye dhambi juu ya nafsi zao, msije mkadhoofika mkizimia mioyoni mwenu.


Hamjafanya vita kiasi cha kumwaga damu, mkishindana na dhambi:


mambo ambayo wao huona kuwa ni ajabu ya ninyi kutokwenda mbio pamoja nao hatta ufisadi usio kiasi, wakiwatukaneni;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo