Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waebrania 13:12 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

12 Kwa ajili hii Yesu nae, illi awatakase watu wake kwa damu yake miwenyewe, alitesyia nje ya mlango.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Ndiyo maana Yesu pia, kusudi apate kuwatakasa watu kwa damu yake mwenyewe, aliteswa na kufa nje ya mji.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Ndiyo maana Yesu pia, kusudi apate kuwatakasa watu kwa damu yake mwenyewe, aliteswa na kufa nje ya mji.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Ndiyo maana Yesu pia, kusudi apate kuwatakasa watu kwa damu yake mwenyewe, aliteswa na kufa nje ya mji.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Vivyo hivyo, Isa naye aliteswa nje ya lango la mji ili awatakase watu kwa damu yake mwenyewe.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Vivyo hivyo, Isa naye aliteswa nje ya lango la mji ili awatakase watu kwa damu yake mwenyewe.

Tazama sura Nakili




Waebrania 13:12
18 Marejeleo ya Msalaba  

Wakaondoka wakamtoa nje ya mji, wakamchukua hatta ukingo wa kilima kile kilichojengwa mji wao, wapate kumporomosha:


Na kwa ajili yao najitakasa, illi na hawa watakaswe katika kweli.


lakini askari mmoja kwa mkuki alimchoma ubavu, ikatoka marra damu na maji.


wakamtoa nje ya mji, wakampiga mawe. Nao mashahidi wakaweka nguo zao miguuni pa kijana mmoja aliyekwitwa Saul.


Na baadhi yenu mlikuwa watu wa namna hizi; lakini mlioshwa, lakini mlitakaswa, lakini mlihesabiwa kuwa na haki katika jina la Bwana Yesu na katika Roho ya Mungu wetu.


kusudi alitakase na kulisafisha kwa maji, na kwa Neno;


Katika mapenzi hayo tumepata utakaso, kwa kutolewa mwili wa Yesu Kristo marra moja.


Mwaonaje? Haikumpasa adhabu iliyo kubwa zaidi mtu yule aliyemkanyaga Mwana wa Mungu, na kuihesabu damu ya agano aliyotakaswa nayo kuwa ni kitu ovyo, na kumfanyia jeuri Roho ya neema?


Maana yeye atakasae nao wanaotakaswa wote pia watoka kwa mmoja. Kwa ajili hii haoni haya kuwaita ndugu zake;


Shinikizo lile likakanyagwa nje ya mji, damu ikatoka katika shinikizo mpaka khatamu za farasi, mwendo wa mastadio elfu na sita mia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo