Waebrania 13:10 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192110 Tuna madhbahu ambayo wale waikhudumiao khema bawana rukhusa kula vitu vyake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Sisi tunayo madhabahu ambayo wale wanaotumikia bado katika hema la Wayahudi hawana haki ya kula vitu vyake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Sisi tunayo madhabahu ambayo wale wanaotumikia bado katika hema la Wayahudi hawana haki ya kula vitu vyake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Sisi tunayo madhabahu ambayo wale wanaotumikia bado katika hema la Wayahudi hawana haki ya kula vitu vyake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 Sisi tunayo madhabahu ambayo wale wanaohudumu katika hema hawana haki ya kula vile vitu vilivyowekwa juu yake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 Sisi tunayo madhabahu ambayo wale wanaohudumu katika hema hawana haki ya kula vile vitu vilivyowekwa juu yake. Tazama sura |