Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waebrania 13:1 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

1 UPENDANO na udumu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Endeleeni kupendana kindugu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Endeleeni kupendana kindugu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Endeleeni kupendana kindugu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Endeleeni kupendana kama ndugu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 Endeleeni kupendana kama ndugu.

Tazama sura Nakili




Waebrania 13:1
30 Marejeleo ya Msalaba  

Haya nawaamuru, mpate kupendana.


HATTA ilipotimia siku ya Pentekote walikuwako wote pamoja mahali pamoja.


Na jamii ya watu walioamini walikuwa moyo mmoja na roho moja: wala hapana mmoja aliyesema ya kuwa kitu cho chote alicho nacho ni mali yake mwenyewe; bali walikuwa na vitu vyote shirika.


Maana ninyi, ndugu, mliitwa mpate uhuru; lakini uhuru wenu usiwe sababu ya kuufuata mwili, bali khudumianeni kwa upendo.


Lakini matunda ya Roho ni upendo, furaha, amani, uvumilivu, utu wema, fadhili, uaminifu,


Maana katika Kristo Yesu kutahiriwa hakufai neno wala kutokutahiriwa, bali imani itendayo kazi kwa upendo.


mkijitahidi kuuhifadhi umoja wa Roho katika kifungo cha amani.


mkaenende katika upendo, kama na Kristo alivyowapenda ninyi, akajitoa kwa ajili yetu, sadaka na dhabihu kwa Mungu, kuwa harufu nzuri.


Imetupasa kumshukuru Mungu siku zote kwa ajili yenu, ndugu, kama ilivyo wajib, kwa kuwa imani yenu inazidi sana, na upendo wa killa mtu kwenu kwa wenzake umekuwa mwingi.


tukaangaliane kiasi cha kusukumana katika upendo na kazi nzuri;


Mkiisha kujisafisha roho zenu kwa kuitii kweli, kwa Roho, kiasi cha kuufikilia upendano usio na unafiki, bassi jitahidini kupendana kwa moyo;


Heshimuni walu wote. Upendeni udugu. Mcheni Mungu. Mpeni heshima mfalme.


Neno la mwisbo ni hili; mwe na nia moja, wahurumianao, wenye kupendana kama ndugu, wasikitikivu, wanyenyekevu;


zaidi ya yote mwe na juhudi nyingi katika kupendana; kwa sababu upendano husetiri wingi wa dhambi;


na katika utawa wenu upendano wa ndugu, na katika upendano wa ndugu, upendo.


Na hii ndiyo amri yake, tuliamini jina la Mwana wake Yesu Kristo, na kupendana, kama alivyotupa amri.


Mtu akisema, Nampenda Mungu, nae anamchukia ndugu yake, yu mwongo; kwa maana asiyempenda ndugu yake ambae amemwona, hawezi kumpenda Mungu ambae hakumwona.


Lakini nina neno jun yako, kwa sababu umeacha npendo wako wa kwanza.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo