Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waebrania 12:9 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

9 Na pamoja na haya tulikuwa na baba za mwili wetu walioturudi, tukawastahi; bassi si afadhali sana kujitia chini ya Baba wa roho zetu na kuishi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Zaidi ya hayo, sisi tunawaheshimu wazazi wetu waliotuzaa hata wanapotuadhibu. Basi, tunapaswa kumtii zaidi Baba yetu wa kiroho ili tupate kuishi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Zaidi ya hayo, sisi tunawaheshimu wazazi wetu waliotuzaa hata wanapotuadhibu. Basi, tunapaswa kumtii zaidi Baba yetu wa kiroho ili tupate kuishi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Zaidi ya hayo, sisi tunawaheshimu wazazi wetu waliotuzaa hata wanapotuadhibu. Basi, tunapaswa kumtii zaidi Baba yetu wa kiroho ili tupate kuishi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Tena, sisi sote tunao baba wa kimwili, waliotuadibisha nasi tukawaheshimu kwa ajili ya hilo. Je, si inatupasa kujinyenyekeza zaidi kwa Baba wa roho zetu ili tuishi?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Tena, sisi sote tunao baba wa kimwili, waliotuadibisha nasi tukawaheshimu kwa ajili ya hilo. Je, si inatupasa kujinyenyekeza zaidi kwa Baba wa roho zetu ili tuishi?

Tazama sura Nakili




Waebrania 12:9
28 Marejeleo ya Msalaba  

akasema, Palikuwa na kadhi katika mji fulani; hamchi Mungu wala hajali mtu.


Nae hakukubali muda wa siku kadha wa kadha; khalafu akasema moyoni mwake, Ijapokuwa mimi simchi Mungu wala sijali mtu;


Kilichozaliwa kwa mwili ni mwili; na kilichozaliwa kwa Roho ni roho.


Bassi kwa kuwa nabii, akijua ya kuwa Mungu amemwapia kwa kiapo, ya kwamba katika uzao wa viuno vyake kwa jinsi ya kiwiliwili atamwinua Kristo, akae katika kiti chake cha enzi; yeye mwenyewe


khabari za Mwana wake, aliyekuwa katika ukoo wa Daud kwa jinsi ya mwili,


Kwa maana naliomba mimi mwenyewe niharamishwe na kutengwa na Kristo kwa ajili ya ndugu zangu, jamaa zangu kwa jinsi ya mwili;


na katika bao alitoka Kristo kwa jinsi ya mwili, aliye juu ya mambo yote, Mungu, anaehimidiwa milele. Amin.


Jidhilini mbele za Bwana, nae atawakuzeni.


Bassi mtiini Mungu. Mpingeni Shetani, nae atawakimbia.


Bassi nyenyekeeni chini ya mkono wa Mungu ulio hodari, awakweze kwa wakati wake;


Akaniambia, Haya ni maneno ya uaminifu na ya kweli. Na Bwana Mungu wa manabii watakatifu alimtuma malaika wake kuwaonyesha watumishi wake mambo ambayo hayana buddi kuwa upesi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo