Waebrania 12:6 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19216 Maana yeye ambae Bwana humpenda, humrudi, Nae humpiga killa mwana amkubaliye. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Maana Bwana humpa nidhamu kila anayempenda, humwadhibu kila anayekubali kuwa mwanawe.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Maana Bwana humpa nidhamu kila anayempenda, humwadhibu kila anayekubali kuwa mwanawe.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Maana Bwana humpa nidhamu kila anayempenda, humwadhibu kila anayekubali kuwa mwanawe.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 kwa sababu Mwenyezi Mungu huwaadibisha wale anaowapenda, na humwadhibu kila mmoja anayemkubali kuwa mwana.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 kwa sababu Mwenyezi Mungu huwaadibisha wale awapendao, na humwadhibu kila mmoja anayemkubali kuwa mwana.” Tazama sura |