Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waebrania 12:20 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

20 Hatta nyama akiugusa mlima atapigwa mawe au atachomwa kwa mkuki.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 kwani hawakuweza kustahimili amri iliyotolewa: “Atakayegusa mlima huu, hata kama ni mnyama, atapigwa mawe.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 kwani hawakuweza kustahimili amri iliyotolewa: “Atakayegusa mlima huu, hata kama ni mnyama, atapigwa mawe.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 kwani hawakuweza kustahimili amri iliyotolewa: “Atakayegusa mlima huu, hata kama ni mnyama, atapigwa mawe.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 kwa sababu hawangeweza kustahimili neno lile lililoamriwa: “Hata mnyama akigusa mlima huu, atapigwa mawe.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 kwa sababu hawangeweza kustahimili neno lile lililoamriwa: “Hata kama mnyama atagusa mlima huu, atapigwa mawe.”

Tazama sura Nakili




Waebrania 12:20
6 Marejeleo ya Msalaba  

Maana mimi kwa sharia naliifia sharia illi nimwishie Mungu.


Kwa maana wale wote walio wa matendo ya sharia, wako chini ya laana; maana imeandikwa, Amelaaniwa killa mtu asiodumu katika yote yaliyoandikwa katika kitabu cha sharia, ayafanye.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo