Waebrania 11:8 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19218 Kwa imani Ibrahimu alipoitwa aliitika, akatoka aende hatta mahali pale atakapopapata kuwa urithi; akatoka asijue aendako. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Kwa imani Abrahamu alimtii Mungu alipoitwa aende katika nchi ambayo Mungu angempa iwe yake. Ingawa hakujua alikokuwa anakwenda, Abrahamu alihama. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Kwa imani Abrahamu alimtii Mungu alipoitwa aende katika nchi ambayo Mungu angempa iwe yake. Ingawa hakujua alikokuwa anakwenda, Abrahamu alihama. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Kwa imani Abrahamu alimtii Mungu alipoitwa aende katika nchi ambayo Mungu angempa iwe yake. Ingawa hakujua alikokuwa anakwenda, Abrahamu alihama. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Kwa imani Ibrahimu, alipoitwa aende mahali Mungu angempa baadaye kuwa urithi, alitii na akaenda, ingawa hakujua anakoenda. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Kwa imani Ibrahimu, alipoitwa aende mahali ambapo Mwenyezi Mungu angempa baadaye kuwa urithi, alitii na akaenda, ingawa hakujua anakokwenda. Tazama sura |