Waebrania 11:36 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192136 wengine walijaribiwa kwa dhihaka na mapigo, naam, kwa mafungo, na kwa kutiwa gerezani: Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema36 Wengine walidhihakiwa na kupigwa mijeledi, na wengine walifungwa minyororo na kutupwa gerezani. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND36 Wengine walidhihakiwa na kupigwa mijeledi, na wengine walifungwa minyororo na kutupwa gerezani. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza36 Wengine walidhihakiwa na kupigwa mijeledi, na wengine walifungwa minyororo na kutupwa gerezani. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu36 Wengine walidhihakiwa na kupigwa, hata walifungwa minyororo na kutiwa gerezani. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu36 Wengine walidhihakiwa na kupigwa, hata walifungwa minyororo na kutiwa gerezani. Tazama sura |