Waebrania 11:33 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192133 ambao kwa imani walishinda milki za wafalme, walitenda haki, walipata ahadi, waliziba makanwa ya simba, Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema33 Kwa imani hawa wote walipigana vita na wafalme, wakashinda. Walitenda mambo adili, wakapokea yale aliyoahidi Mungu. Walifunga vinywa vya simba, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND33 Kwa imani hawa wote walipigana vita na wafalme, wakashinda. Walitenda mambo adili, wakapokea yale aliyoahidi Mungu. Walifunga vinywa vya simba, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza33 Kwa imani hawa wote walipigana vita na wafalme, wakashinda. Walitenda mambo adili, wakapokea yale aliyoahidi Mungu. Walifunga vinywa vya simba, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu33 ambao kwa imani walishinda milki za wafalme, walitekeleza haki, na wakapokea ahadi za Mungu; walifunga vinywa vya simba, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu33 ambao kwa imani walishinda milki za wafalme, walitekeleza haki, na wakapokea ahadi za Mwenyezi Mungu; walifunga vinywa vya simba, Tazama sura |