Waebrania 11:31 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192131 Kwa imani Rahab, yule kahaba, hakuangamia pamoja nao walioasi; kwa kuwa aliwakaribisha wapelelezi kwa amani. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema31 Kwa imani Rahabu aliyekuwa malaya hakuangamia pamoja na wale waliomwasi Mungu, kwa sababu aliwakaribisha wale wapelelezi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND31 Kwa imani Rahabu aliyekuwa malaya hakuangamia pamoja na wale waliomwasi Mungu, kwa sababu aliwakaribisha wale wapelelezi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza31 Kwa imani Rahabu aliyekuwa malaya hakuangamia pamoja na wale waliomwasi Mungu, kwa sababu aliwakaribisha wale wapelelezi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu31 Kwa imani, Rahabu, yule kahaba, hakuangamizwa pamoja na wale waliomwasi Mungu, kwa kuwa aliwakaribisha wale wapelelezi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu31 Kwa imani, Rahabu, yule kahaba, hakuangamizwa pamoja na wale waliomwasi Mwenyezi Mungu, kwa kuwa aliwakaribisha wale wapelelezi. Tazama sura |