Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waebrania 10:4 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

4 Maana haiyumkini damu ya mafahali na mbuzi iondoe dhambi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Maana damu ya fahali na mbuzi haiwezi kamwe kuondoa dhambi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Maana damu ya fahali na mbuzi haiwezi kamwe kuondoa dhambi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Maana damu ya fahali na mbuzi haiwezi kamwe kuondoa dhambi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 kwa sababu haiwezekani damu ya mafahali na mbuzi kuondoa dhambi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 kwa sababu haiwezekani damu ya mafahali na mbuzi kuondoa dhambi.

Tazama sura Nakili




Waebrania 10:4
19 Marejeleo ya Msalaba  

na kumpenda kwa moyo wote, na kwa ufahamu wote, na kwa roho yote, na kwa nguvu zote, na kumpenda jirani kama nafsi yako, kwafaa kuliko kafara zote na dhabihu zote.


Siku ya pili yake Yohana amwona Yesu anakuja kwake, akanena, Tazama, Mwana Kondoo wa Mungu, aichukuae dhambi ya ulimwengu!


Na hili ndilo agano langu nao, Nitakapowaondolea dhambi zao.


BASSI kwa kuwa torati ni kivuli cha mema yatakayokuwa, wala si sura yenyewe ya mambo, kwa dhahihu zile zile wanazozitoa killa mwaka daima, hawawezi wakati wo wote kuwakamilisha wakaribiao.


Na killa kuhani husimama killa siku akifanya ibada, akitoa dhabihu zilezile marra nyingi; nazo haziwezi kabisa kuondoa dhambi.


Hapo juu anenapo, Dhabihu na matoleo na kafara na sadaka za dhamhi hukuzitaka, wala hukupendezwa nazo (zitolewazo ilivyoamuru torati),


Hii ndiyo mfano wa wakati huu uliopo sasa; wakati huo sadaka na dhahihu zinatolewa, zisizoweza kumkamilisha mtu aabunduye dhamiri yake,


Na mnajua ya kuwa yeye alidhihiri, illi aziondoe dhambi zetu; na dhambi haimo ndani yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo