Waebrania 10:39 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192139 Lakini sisi hatumo miongoni mwao wasitao na kupotea, bali miongoni mwao walio na imani ya kutuokoa roho zetu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema39 Basi, sisi hatumo miongoni mwa wale wanaorudi nyuma na kupotea, ila sisi tumo na wale wanaoamini na kuokolewa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND39 Basi, sisi hatumo miongoni mwa wale wanaorudi nyuma na kupotea, ila sisi tumo na wale wanaoamini na kuokolewa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza39 Basi, sisi hatumo miongoni mwa wale wanaorudi nyuma na kupotea, ila sisi tumo na wale wanaoamini na kuokolewa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu39 Lakini sisi hatumo miongoni mwa hao wanaositasita na kuangamia, bali tuko miongoni mwa hao wenye imani na hivyo tunaokolewa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu39 Lakini sisi hatumo miongoni mwa hao wanaositasita na kuangamia, bali tuko miongoni mwa hao wenye imani na hivyo tunaokolewa. Tazama sura |