Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waebrania 10:38 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

38 Lakini mwenye haki ataishi kwa imani; nae akisitasita, roho yangu haina furaha nae.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

38 Lakini mtu wangu aliye mwadilifu ataamini na kuishi; walakini akirudi nyuma, mimi sitapendezwa naye.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

38 Lakini mtu wangu aliye mwadilifu ataamini na kuishi; walakini akirudi nyuma, mimi sitapendezwa naye.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

38 Lakini mtu wangu aliye mwadilifu ataamini na kuishi; walakini akirudi nyuma, mimi sitapendezwa naye.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

38 Na, “Lakini mwenye haki wangu ataishi kwa imani. Naye akisitasita, sina furaha naye.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

38 Lakini mwenye haki wangu ataishi kwa imani. Naye kama akisitasita, sina furaha naye.”

Tazama sura Nakili




Waebrania 10:38
24 Marejeleo ya Msalaba  

Tazama, mtumishi wangu niiliyemteua; Mpendwa wangu, ambae moyo wangu umependezwa nae; Nitamtia roho yangu, Nae atuwatangazia Mataifa hukumu.


lakini hana mizizi udani yake, hukaa muda mchache; ikitukia shidda au udhia kwa sababu ya lile neno, marra huchukizwa.


Kwa maana haki ya Mungu inadhihirishwa ndani yake, toka imani hatta imani; kama ilivyoandikwa, Mwenye haki ataishi kwa imani.


Ni dhahiri ya kwamba hapana mtu ahesabiwae kuwa ana haki nibele za Mungu katika sharia; kwa sababu Mwenye haki ataisbi kwa imani.


waliomwua Bwana Yesu na manabii wao wenyewe na kutuudhi sisi, wala hawampendezi Mungu, wala hawapatani na watu wo wote;


Lakini sisi hatumo miongoni mwao wasitao na kupotea, bali miongoni mwao walio na imani ya kutuokoa roho zetu.


Mmemhukumu mwenye haki mkamwua: nae hashindani nanyi.


Walitoka kwetu, bali hawukuwa wa kwetu. Maana kama wangalikuwa wa kwetu, wangalikaa pamoja nasi. Lakini walitoka illi wafunuliwe kwamba si wote walio wa kwetu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo