Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waebrania 10:35 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

35 Bassi msiutupe njasiri wenu, kwa maana una thawabu kuu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

35 Basi, msipoteze uhodari wenu, maana utawapatia tuzo kubwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

35 Basi, msipoteze uhodari wenu, maana utawapatia tuzo kubwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

35 Basi, msipoteze uhodari wenu, maana utawapatia tuzo kubwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

35 Kwa hiyo msiutupe ujasiri wenu, kwa maana una thawabu kubwa mno.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

35 Kwa hiyo msiutupe ujasiri wenu, kwa maana una thawabu kubwa mno.

Tazama sura Nakili




Waebrania 10:35
15 Marejeleo ya Msalaba  

Bassi killa mtu atakaenikiri mbele ya watu, nami nitamkiri mbele ya Baba yangu aliye mbinguni.


Na mtu aliye yote atakaemnywesha mmojawapo wa wadogo hawa kikombe cha maji ya baridi tu, kwa kuwa yu mwanafunzi, amin, nawaambieni, haitampotea kamwe thawabu yake.


Furahini, shangilieni: kwakuwa thawabu yenu nyingi mbinguni; kwa maana ndivyo walivyowatesa manabii waliokuwa kabla yenu.


kwa sababu hawana kitu cha kukulipa; maana utalipwa katika ufufuo wa wenye haki.


Bassi, ndugu wapendwa, mwe imara, msiotikisika, mkizidi sana kutenda kazi ya Bwana siku zote, kwa kuwa taabu yenu siyo burre katika Bwana.


Katika yeye tuna ajasiri na uwezo wa kukaribia katika tumaini kwa njia ya imani yake.


Bassi, ndugu, kwa kuwa tuna ujasiri wa kupaingia patakatifu kwa damu ya Yesu,


akihesabu ya kuwa kushutumiwa kwake Kristo ni utajiri mwingi kuliko hazina za Misri.


Kwa maana, ikiwa lile neno lililonenwa na malaika lilikuwa imara, na killa kosa na uasi ulipata ujira wa haki,


Kwa maana tumekuwa washirika wa Kristo, kama tukishikamana na mwanzo wa uthabiti wetu mpaka mwisho;


bali Kristo, kama mwana, juu ya nyumba yake; ambae nyumba yake ni sisi, kama tukishikamana sana na ujasiri wetu na kujisifu kwetu, kwa kutumaini mpaka mwisho.


Bassi, iwapo tunae kuhani mkuu aliyeingia katika mbingu, Yesu, Mwana wa Mungu, tujashike sana maungamo yetu.


Jiangalieni nafsi zenu msiyapoteze mliyoyatenda, bali mpokee thawabu timilifu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo