Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waebrania 10:31 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

31 Ni jambo la kutisba kuanguka katika mikono ya Mungu aliye hayi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

31 Kuanguka mikononi mwa Mungu aliye hai ni jambo la kutisha mno!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

31 Kuanguka mikononi mwa Mungu aliye hai ni jambo la kutisha mno!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

31 Kuanguka mikononi mwa Mungu aliye hai ni jambo la kutisha mno!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

31 Ni jambo la kutisha kuanguka mikononi mwa Mungu aliye hai.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

31 Ni jambo la kutisha kuanguka mikononi mwa Mungu aliye hai.

Tazama sura Nakili




Waebrania 10:31
14 Marejeleo ya Msalaba  

Msiwaogope wauuao mwili, wasiweze kuiua na roho: afadhali mmwogopeni yule awezae kuangamiza mwili na roho pia katika jehannum.


Simon Petro akajibu, akasema, Wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu aliye hayi.


Illa nitawaonya mtakaemwogopa: Mwogopeni yule aliye na uweza baada ya kuua mtu kumtupa katika Jehannum: naam, nawaambieni, Mwogopeni yule.


kutakuwa na matetemeko makubwa ya inchi mahali mahali, na njaa, na tauni. Kutakuwa na mambo ya kutisha, na ishara kuu kutoka mbinguni.


Bassi, angalia, mkono wa Bwana ni juu yako, nawe utakuwa kipofu, usilione jua kwa muda kitambo. Marra kiwi kikamwangukia na giza, akazungukazunguka na kumtafuta mtu wa kumshika mkono na kumwongoza.


Bassi tukiijua khofu ya Bwana, twawavuta wana Adamu; lakini tumedhihirishwa mbele za Mungu. Nami natumaini ya kuwa tunadhihirishwa katika dhamiri zenu pia.


bali kuitazamia hukumu kwenye kutisha, na ukali wa moto ulio tayari kuwala wao wapingao.


maana Mungu wetu ni moto ulao.


Angalieni, ndugu zangu, usiwe katika mmoja wenu moyo mbovu wa kutokuamini, kwa kujitenga na Mungu aliye hayi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo