Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waebrania 10:27 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

27 bali kuitazamia hukumu kwenye kutisha, na ukali wa moto ulio tayari kuwala wao wapingao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

27 Linalobaki ni kungojea tu kwa hofu hukumu ya Mungu na moto mkali utakaowaangamiza wote wanaompinga.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

27 Linalobaki ni kungojea tu kwa hofu hukumu ya Mungu na moto mkali utakaowaangamiza wote wanaompinga.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

27 Linalobaki ni kungojea tu kwa hofu hukumu ya Mungu na moto mkali utakaowaangamiza wote wanaompinga.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

27 Lakini kinachobaki ni kungoja kwa hofu hukumu ya moto uwakao, utakaowaangamiza adui za Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

27 Lakini kinachobaki ni kungoja kwa hofu hukumu ya moto uwakao, utakaowaangamiza adui za Mwenyezi Mungu.

Tazama sura Nakili




Waebrania 10:27
41 Marejeleo ya Msalaba  

na kuwatupa katika tanuru ya moto; ndiko kutakuwa kilio na kusaga meno.


na kuwatupa katika tanuru ya moto; ndiko kutakuwa kilio na kusaga meno.


Kisha atawaambia na wale walio mkono wake wa kushoto, Ondokeni kwangu, mliolaaniwa, kwenda katika moto wa milele, aliowekewa tayari Shetani na malaika zake:


Nalo shoka limekwisha kuwekwa penye shina la miti; bassi killa mti usiozaa matunda mazuri unakatwa na kutupwa motoni.


Pepeto lake li mkononi mwake, nae ataitakasa sana sakafu yake; atakusanya nganu yake ghalani, bali makapi atayateketeza kwa moto usiozimika.


Wakapiga kelele, wakinena, Tuna nini nawe, Yesu, Mwana wa Mungu? Je, umekuja kutuadhibu kabla ya muhulla?


Akalia, akasema, Baba Ibrahimu, unirehemu, umtume Lazaro, achovye ncha ya kidole chake majini, auburudishe ulimi wangu; kwa maana naumia katika moto huu.


Walakini wale adui zangu wasiotaka niwatawale, waleteni huku mkawachinje mhele zangu.


watu wakizimia kwa khofu, na kwa kutazamia yanayoujia ulimwengu; kwa maana nguvu za mbingu zitatikisika.


Ndipo watakapoanza kuiambia milima, Tuangukieni, na vilima, Tusetirini.


wale waliofanya mema kwa ufufuo wa uzima, na wale waliofanya manyonge kwa ufufuo wa hukumu.


Angalieni msimkatae yeye anenae. Maana ikiwa wale hawakuokoka waliomkataa yeye aliyewaonya juu ya inchi, sembuse sisi tukijiepusha nae atuonyae kutoka mbinguni:


maana Mungu wetu ni moto ulao.


sisi je! tutapataje kujiponya, tusipotunza wokofu mkiju namna hii? ambao kwanza ulinenwa na Bwana, kiisha nkathubutika kwetu na wale waliosikia;


Na jinsi watu wanavyowekewa kufa marra moja, na baada ya kufa hukumu:


Dhahabu yenu na fedha yenu zimeingia kutu, na kutu yake itakushuhudieni, nayo itakula miili yenu kama moto. Mmejiwekea akiba katika siku hizi za mwisho.


Na ikiwa mtu hakuonekana ameandikwa katika kitabu cha uzima, alitupwa katika lile ziwa la moto.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo