Waebrania 10:23 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192123 Tulishike sana ungamo la tumaini letu, lisigeuke; maana yeye aliyeahidi ni amini; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema23 Tuzingatie kabisa tumaini letu tunalokiri, maana Mungu aliyefanya ahadi zake ni mwaminifu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND23 Tuzingatie kabisa tumaini letu tunalokiri, maana Mungu aliyefanya ahadi zake ni mwaminifu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza23 Tuzingatie kabisa tumaini letu tunalokiri, maana Mungu aliyefanya ahadi zake ni mwaminifu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu23 Tushike kwa uthabiti lile tumaini la ukiri wetu bila kuyumbayumba, kwa maana yeye aliyeahidi ni mwaminifu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu23 Tushike kwa uthabiti lile tumaini la ukiri wetu bila kuyumbayumba, kwa maana yeye aliyeahidi ni mwaminifu. Tazama sura |