Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waebrania 10:2 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

2 Kama wangeweza, wangeacha kuzitoa; kwa maana waabuduo, walipokwisha kusatishwa kwa marra moja, wasingejiona tena kuwa na dhamhi?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Kama hao watu wanaomwabudu Mungu wangekuwa wametakaswa dhambi zao kweli, hawangejisikia tena kuwa na dhambi, na tambiko hizo zote zingekoma.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Kama hao watu wanaomwabudu Mungu wangekuwa wametakaswa dhambi zao kweli, hawangejisikia tena kuwa na dhambi, na tambiko hizo zote zingekoma.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Kama hao watu wanaomwabudu Mungu wangekuwa wametakaswa dhambi zao kweli, hawangejisikia tena kuwa na dhambi, na tambiko hizo zote zingekoma.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Kama dhabihu hizo zingeweza kuwakamilisha, hazingeendelea kutolewa tena. Kwa kuwa hao waabuduo wangekuwa wametakaswa mara moja tu, wala wasingejiona tena kuwa na dhambi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Kama dhabihu hizo zingeweza kuwakamilisha, hazingeendelea kutolewa tena. Kwa kuwa hao waabuduo wangekuwa wametakaswa mara moja tu, wala wasingejiona tena kuwa na dhambi.

Tazama sura Nakili




Waebrania 10:2
8 Marejeleo ya Msalaba  

Dhambi zao na uasi wao sitaukumbuka tena kabisa.


Maana huu ndio wema khassa, mtu akivumilia huzuni kwa kumkumbuka Mungu, ateswapo isivyo baki.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo