Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waebrania 10:16 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

16 Hili ni agano nitakalowapa baada ya siku zile, anna Bwana, Nitatia sharia zangu mioyoni mwao, na katika akili zao nitaziandika; ndipo anenapo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 “Hili ndilo agano nitakalofanya nao, siku zijazo, asema Bwana: Nitaweka sheria zangu mioyoni mwao, na kuziandika akilini mwao.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 “Hili ndilo agano nitakalofanya nao, siku zijazo, asema Bwana: Nitaweka sheria zangu mioyoni mwao, na kuziandika akilini mwao.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 “Hili ndilo agano nitakalofanya nao, siku zijazo, asema Bwana: Nitaweka sheria zangu mioyoni mwao, na kuziandika akilini mwao.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 “Hili ndilo agano nitakalofanya nao baada ya siku hizo, asema Mwenyezi Mungu. Nitaziweka sheria zangu mioyoni mwao, na kuziandika katika nia zao.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 “Hili ndilo Agano nitakalofanya nao baada ya siku hizo, asema Mwenyezi Mungu. Nitaziweka sheria zangu mioyoni mwao, na kuziandika katika nia zao.”

Tazama sura Nakili




Waebrania 10:16
4 Marejeleo ya Msalaba  

Na hili ndilo agano langu nao, Nitakapowaondolea dhambi zao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo