Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waebrania 10:15 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

15 Na Roho Mtakatifu yatushuhudia; kwa maana, baada ya kunena,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Naye Roho Mtakatifu anatupa ushahidi wake. Kwanza anasema:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Naye Roho Mtakatifu anatupa ushahidi wake. Kwanza anasema:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Naye Roho Mtakatifu anatupa ushahidi wake. Kwanza anasema:

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Pia Roho wa Mungu anatushuhudia kuhusu jambo hili. Kwanza anasema:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Pia Roho wa Mwenyezi Mungu anatushuhudia kuhusu jambo hili. Kwanza anasema:

Tazama sura Nakili




Waebrania 10:15
18 Marejeleo ya Msalaba  

Yohana akamshuhudia, akapaaza sauti yake, akinena, Huyu ndiye niliyemnena khabari zake, kwamba, Ajae nyuma yangu amekuwa mbele yangu; kwa maana alikuwa kabla yangu.


Lakini ajapo Mfariji, nitakaewapelekea toka kwa Baba, Roho ya kweli atokae kwa Baba, yeye atanishuhudia.


Na walipokuwa hawapatani wao kwawao, wakaenda zao, Paolo alipokwisha kusema neno hili moja ya kama, Roho Mtakatifu alinena vema na baba zetu, kwa kinywa cha nabii Isaya,


Kwa hiyo, kama anenavyo Robo Mtakatifu, Leo, kama mtasikia sauti yake,


Roho Mtakatifu akionyesha neno hili, ya kwamba njia ya kupaingia patakatifu ilikuwa haijadhihirishwa bado, hapo khema ya kwanza ilipokuwa ingali ikisimama.


Maana unabii haukuletwa zamani kwa mapenzi ya mwana Adamu; hali wana Adamu, watakatifu wa Mungu, walinena, wakiongozwa na Roho Mtakatifu.


Nikaanguka mbele ya miguu yake, nimsujudie, akaniambia, Angalia, usifanye hivi: mimi mjoli wako na mmoja wa ndugu zako walio na ushuhuda wa Yesu. Msujudu Mungu: kwa maana ushuhuda wa Yesu ni roho ya unabii.


Yeye aliye na sikio na asikie neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa. Yeye ashindae hatapatikana na madhara ya mauti ya pili.


Yeye aliye na sikio na asikie neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa. Yeye ashindae nitampa kula baadhi ya ile manna iliyofiehwa, nami nitampa jiwe jeupe, na juu ya jiwe hilo limeandikwa jina, jina asilolijua mtu illa yeye aliyepewa.


Yeye aliye na sikio na asikie neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa.


Yeye alive na sikio, na asikie neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa. Yeye ashindae, nitampa kula matunda ya mti wa uzima ulio kati kati va bustani ya Mungu.


Yeye aliye na sikio na asikie neno bili ambalo Roho ayaambia makanisa.


Yeye aliye na sikio na asikie neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa.


Yeye aliye na sikio na asikie neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo