Waebrania 10:10 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192110 Katika mapenzi hayo tumepata utakaso, kwa kutolewa mwili wa Yesu Kristo marra moja. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Kwa kuwa Yesu Kristo alitimiza matakwa ya Mungu, sisi tunatakaswa dhambi zetu kwa ile tambiko ya mwili wake aliyotoa mara moja tu, ikatosha. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Kwa kuwa Yesu Kristo alitimiza matakwa ya Mungu, sisi tunatakaswa dhambi zetu kwa ile tambiko ya mwili wake aliyotoa mara moja tu, ikatosha. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Kwa kuwa Yesu Kristo alitimiza matakwa ya Mungu, sisi tunatakaswa dhambi zetu kwa ile tambiko ya mwili wake aliyotoa mara moja tu, ikatosha. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 Katika mapenzi hayo sisi tumetakaswa na kufanywa watakatifu kupitia kwa sadaka ya mwili wa Isa Al-Masihi alioutoa mara moja tu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 Katika mapenzi hayo sisi tumetakaswa na kufanywa watakatifu kwa njia ya sadaka ya mwili wa Isa Al-Masihi alioutoa mara moja tu. Tazama sura |