Waebrania 1:7 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19217 Na katika khabari za malaika anena, Afanyae malaika zake kuwa pepo, na watumislii wake ndimi za moto. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 Lakini kuhusu malaika, alisema: “Amewafanya malaika wake kuwa upepo, na wahudumu wake ndimi za moto.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 Lakini kuhusu malaika, alisema: “Amewafanya malaika wake kuwa upepo, na wahudumu wake ndimi za moto.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 Lakini kuhusu malaika, alisema: “Amewafanya malaika wake kuwa upepo, na wahudumu wake ndimi za moto.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Anaponena kuhusu malaika, anasema, “Huwafanya malaika wake kuwa pepo, watumishi wake kuwa miali ya moto.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 Anenapo kuhusu malaika asema, “Huwafanya malaika wake kuwa pepo, watumishi wake kuwa miali ya moto.” Tazama sura |