Waebrania 1:1 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19211 KWA sehemu nyingi na kwa namna nyingi Mungu zamani alisema na babu zetu katika manabii, Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Hapo zamani, Mungu alisema na babu zetu mara nyingi kwa namna nyingi kwa njia ya manabii, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Hapo zamani, Mungu alisema na babu zetu mara nyingi kwa namna nyingi kwa njia ya manabii, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Hapo zamani, Mungu alisema na babu zetu mara nyingi kwa namna nyingi kwa njia ya manabii, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Zamani, Mungu alisema na baba zetu kupitia kwa manabii mara nyingi na kwa njia mbalimbali, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Zamani Mwenyezi Mungu alisema na baba zetu kwa njia ya manabii mara nyingi na kwa njia mbalimbali, Tazama sura |